Header Ads

  • Breaking News

    Masoud Djuma: Tutapambana hadi tone la mwisho



    Kocha msaidizi wa timu ya Simba, Masoud Djuma amesema watapambana mpaka tone la mwisho ili kufuzu hatua inayofuata ya michuano ya kombe la Shirikisho dhidi ya Al Masry.
    Kocha huyo amesema hayo baada ya kikosi cha SImba kuwasili mapema hii leo mjini Port Said, tayari kwa mchezo huo utakaochezwa mwishoni mwa juma hili.
    Masoud amesema hatua ya kucheza dhidi ya wapinzani wao katika mchezo wa kwanza uliofanyika jijini Dar es salaam, imewafanya  kugugundua mambo mengi likiwepo suala la mapungufu ambayo wameyafanyia kazi ili kuibuka kidedea.

    No comments

    Post Top Ad

    Post Bottom Ad